
Aidha, katika kuhakikisha wakulima wanafanya kilimo chenye tija, Wizara ya Kilimo imeanzisha kituo cha huduma za ushauri kwa Wakulima (Call centers) na kununua vifaa vya huduma za ugani katika Halmashauri 166 nchini.
Aidha, katika kuhakikisha wakulima wanafanya kilimo chenye tija, Wizara ya Kilimo imeanzisha kituo cha huduma za ushauri kwa Wakulima (Call centers) na kununua vifaa vya huduma za ugani katika Halmashauri 166 nchini.
Social Plugin