DAWASA YASHINDA TUZO KINARA UTOAJI TAARIFA KWA UMMA

 




Afisa Mawasiliano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Ndugu Nelson Shoo (wa pili kulia) akipokea tuzo kutoka kwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye Waziri baada ya Mamlaka kuibuka kinara katika utoaji wa taarifa kwa umma miongoni Mwa Mamlaka za Maji Nchini.

Tuzo hii imetolewa na Mhe. Waziri Nape wakati wa kikao kazi cha Maafisa Habari Serikalini kilichokuwa na kauli mbiu "Jenga Mustakabali endelevu kwenye Sekta ya Habari katika zama za kidijitali".





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post