MR. MANGURUWE APAGAWA, ATANGAZA KUWALA SUPU 'NGURUWE ZAWADI' WA KIBU DENIS


Mfanyabiashara maarufu wa Nguruwe nchini Tanzania MR MANGURUWE ametangaza kuwachinja na kuwanywa Supu Nguruwe wote wa aliyekuwa Mchezaji Kibu Denis aliokuwa amempa kama zawadi baada ya kuisadia timu ya Simba SC kupata matokeo katika msimu uliopita. Maamuzi haya ya MR Manguruwe yamekuja baada ya Mchezaji huyo kuikimbia timu hiyo.

TAZAMA VIDEO HAPA

@malundeblog

Mfanyabiashara maarufu wa Nguruwe nchini Tanzania MR MANGURUWE ametangaza kuwachinja na kuwanywa Supu Nguruwe wote wa aliyekuwa Mchezaji Kibu Denis aliokuwa amempa kama zawadi baada ya kuisadia timu ya Simba SC kupata matokeo katika msimu uliopita. Maamuzi haya ya MR Manguruwe yamekuja baada ya Mchezaji huyo kuikimbia timu hiyo.

♬ original sound - Malunde




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post