UIMARISHAJI HUDUMA YA MAJI - TEGETA NYUKI

 


Zoezi la udhibiti upotevu wa maji likiendelea kutekelezwa na mafundi wa DAWASA katika bomba lenye ukubwa wa inchi 6 eneo la Tegeta Nyuki ili kuimarisha huduma ya Majisafi.

Udhibiti upotevu wa maji umekua kipaumbele cha Mamlaka katika eneo lake la kihuduma na kukamilika kwa kazi hii kutanufaisha wakazi wa eneo la Tegeta Nyuki wanaohudumiwa na Bomba hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post