VIONGOZI WA JUMUIYA YA WANAHABARI WA MITANDAONI ZANZIBAR WATEMBELEA OFISI ZA JUMIKITA DAR ES SALAAM


Viongozi wa Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandaoni Zanzibar (ZONA) leo wametembelea ofisi za Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandaoni Tanzania (JUMIKITA) zilizopo jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo ya siku moja, Mwenyekiti wa ZONA, Ali Seif, akiwa ameongozana na wajumbe Rashid Ali na Khamis Hulela, walikutana na Mwenyekiti wa JUMIKITA, Shabani Matwebe, kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na jumuiya hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post