MSEMAJI WA VITAL'O ARSENE BUCCUTI ATUA KWA DR. MANGURUWE! AKABIDHIWA ZAWADI YA NGURUWE WAKUBWAAA!!

@malundeblog

MSEMAJI WA VITAL'O ARSENE BUCCUTI ATUA KWA DR. MANGURUWE! AKABIDHIWA ZAWADI YA NGURUWE WAKUBWAAA!!👇🏻👉🐷https://www.malunde.com/2024/08/Mangur.html

♬ original sound - Malunde

Mfanyabiashara na Mfugaji maarufu wa Nguruwe wa Dodoma Dr Manguruwe ametimiza ahadi yake ya kumpa zawadi ya nguruwe Msemaji wa Vital'O Arsene Buccuti baada ya kuonesha uwezo mkubwa wa kuisemea timu yake wakati wa michezo miwili ya Kufuzu Klabu Bingwa dhidi ya Yanga.

Msemaji wa Vital'O Arsene Buccuti amesafiri kutoka Jijini Dar es Salaam hadi Zamahero Dodoma na kupokea zawadi ya Nguruwe wawili wakubwa, ambapo ametoa pongezi nyingi kwa Mfugaji huyo na Watanzania kwa ujumla kwa upendo ambao wamemuonesha.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post