Kumekuchaa!! UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUFANYIKA NOVEMBA 27,2024... RATIBA YOTE HII HAPA

TANGAZO LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WA MWAKA 2024

 Limetolewa chini ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka 2024 (Matangazo ya Serikali Na. 571, 572, 573 na 574 ya mwaka 2024)

Kwa Tangazo hili, Wananchi wote wanaombwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha, kupiga kura, kugombea na kushiriki katika Uchaguzi huu ili kupata viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kuchukua fomu za kugombea 01 Novemba, 2024,Kuanza kwa kampeni 20 - 26 Novemba, 2024, Siku ya Uchaguzi 27 Novemba, 2024

SOMA TANGAZO LOTE HAPA CHINI







Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post