𝗔𝗖𝗛𝗜𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘 𝗦𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜 𝗬𝗔𝗪𝗔𝗞𝗨𝗠𝗕𝗨𝗞𝗔 𝗪𝗔𝗙𝗨𝗡𝗚𝗪𝗔 𝗚𝗘𝗥𝗘𝗭𝗔 𝗟𝗔 𝗠𝗔𝗛𝗔𝗕𝗨𝗦𝗨 𝗦𝗘𝗚𝗘𝗥𝗘𝗔

 


Uongozi wa Kampuni ya 𝗔𝗖𝗛𝗜𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘 𝗦𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜 ikiongozwa na Meneja wake Ndugu Innocent Mbeyela akiwa pamoja na Wafanyakazi wa kampuni hiyo wakati wa zoezi la kutoa msaada kwa wafungwa wa Gereza la Mahabusu Segerea mapema leo Agosti 7, 2024.

Kampuni ya 𝗔𝗖𝗛𝗜𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘 𝗦𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜 imefanikiwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kama vile Ndoo za plastiki 10, Neti, Cherehani 4, Sabuni na Dawa za Meno.

Lengo la kutoa misaada hiyo ni kurudisha fadhila kwenye jamii ambayo kila siku tunaendelea kuihudumia kupitia huduma za usafirishaji.

𝗔𝗖𝗛𝗜𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘 𝗦𝗔𝗙𝗔𝗥𝗜, 𝗡𝗜 𝗗𝗛𝗔𝗛𝗔𝗕𝗨 𝗜𝗡𝗔𝗬𝗢𝗧𝗘𝗠𝗕𝗘𝗔 💎

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post