DAWASA MIONGONI MWA WASHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WAHANDISI NCHINI


Sehemu ya watumishi wahandisi Wanawake wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika kongamano la 9 la wahandisi Wanawake lililoandaliwa na Taasisi ya wahandisi Tanzania linalofanyika kuanzia tarehe 21 - 22 Agosti, 2024 - jijini Dar es Salaam.

Kongamano hilo limefunguliwa na Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa limebeba kaulimbiu ya "Nguvu ya Wahandisi Wanawake katika kuendeleza maendeleo kuelekea ulimwengu endelevu."

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post