DK. POSSI AKABIDHIWA RASMI OFISI

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyesimama kushoto) akipokea nyaraka za makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende mara baada ya kukabidhiwa Ofisi kwenye hafla iliyofanyika Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (aliyesimama katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo mara baada ya kukabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende. Makabidhiano hayo yamefanyika kwenye Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Jijini Dar es Salaam.
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (kushoto) akizungumza na aliyekuwa Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Boniphace Luhende muda mfupi kabla ya kukabidhiwa Ofisi kwenye hafla iliyofanyika kwenye Ofisi hiyo Jijini Dar es Salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post