DK. YONAZI AONGOZA KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU DODOMA

MATUKIO KATIKA PICHA


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dk. Jimmy Yonazi.

Na Mwandishi wetu, Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dk.Jimmy Yonazi ameongoza kikao cha Makatibu Wakuu kuhusu Mapitio ya Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto Awamu ya Pili ( MTAKUWWA II 2024/25 - 2028/29).

Kikao hicho kimefanyika leo Agosti 13,2024 k katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post