DC RUANGWA ATEMBELEA BANDA LA TBS KILELE CHA MAONESHO NANENANE LINDI


MKUU wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hassan Ngoma ametembela banda la ShIrika la Viwango Tanzania (TBS) katika siku ya kilele cha Maonesho ya Nanenane ambayo yamefanyika katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.

DC Ngoma amefika katika banda hilo na kujionea maafisa wa TBS wakotoa elimu na kuwahudumia wananchi ambao wametembelea banda lao.

DC Ngoma ameelezwa namna TBS inavyofanya shughuli zake katika kuhakikisha wazalishaji, wauzaji na wasambazaji wa bidhaa pamoja na wananchi kwa ujumla wanatumia bidhaa ambazo zimekidhi matakwa ya viwango.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post