RAIS SAMIA - TUSICHOME MOTO MISITU

 

“Tatizo jingine ndugu zangu ninalotaka kuwaambia ni uchomaji wa moto. Jamaa zangu mmezidi kuchoma moto. Mkichoma moto mnaharibu misitu. Mkichoma moto mpaka pembeni kwa barabara humo ukipita moto unawaka. Lami ile ikipata moto inayeyuka barabara zinaharibika,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post