BENKI KUU YA TANZANIA YASEMA TAARIFA YA NOTI MPYA YA SHILINGI ELFU KUMI NI UONGO..IPUUZWE


Kumekuwa na taarifa inahusu
Muonekano wa series ya noti mpya ya shilingi elfu kumi ambazo zinatarajiwa kutumika hivi karibuni.

Benki Kuu ya Tanzania imetoa taarifa kwamba hiyo Taarifa ni Uongo Ipuuzwe.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post