RAIS SAMIA AHUTUBIA WANANCHI WA JIMBO LA PERAMIHO


Wananchi wa Jimbo la Peramiho wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika mjini hapo  Mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Peramiho, katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Peramiho, katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Wananchi wa Jimbo la Peramiho wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika mjini hapo  Mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Wananchi wa Jimbo la Peramiho wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika mjini hapo  Mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post