NIMETOKA SAFARI NA KUKUTA MKE WANGU AKICHEPUKA

Naishi katika mtaa wa Embakasi jijini Nairobi, hapo awali nilikua naishi pamoja na familia yangu kule Kakamega Magharibi mwa Kenya, kwa kuwa nilikuwa nafanya kazi kule, niliweza kupata uhamisho wa kufanya kazi Nairobi.

Kwa kuwa sikuwa na fedha za kutosha niliamua kuiacha familia yangu huko mashambani na kwenda sehemu yangu ya kazi, mara kwa mara nilipopata nafasi niliwatembelea na kuwajulia hali na kurudi mjini baada ya siku mbili au tatu hivi.

Kando na hayo mara kwa mara niliweza kumpigia mke wangu simu na kuzungumza naye kwa kuwa nilimpenda sana na nilitamani kuwa karibu naye mara kwa mara ila shughuli za kikazi hazikuniruhusu.

Kwa upande mwingine mke wangu naye mara kwa mara alinitumia ujumbe wa mapenzi kwenye simu yangu na kunieleza jinsi anavyonipenda sana.

Jambo hilo lilinifanya niwe mwenye furaha kila wakati na hivyo nilitia bidii kazini na kuweza kumtimizia alichohitaji, baada ya mwaka moja hivi mambo yalianza kubadilika.

Mapenzi aliyokuwa ananionesha mke wangu Sarah yalibadilika, jumbe na simu alizokuwa akinipigia mara kwa mara zilisitishwa.

Hivyo nikaamua kufunga safari ya kwenda nyumbani bila kumtaarifu, nilipofika kwangu nilikupata lango kuu limefungwa, nilimpigia simu ila hakupokea, hivyo nikajipenyeza kwenye ua na kuingia kwenye boma langu bila yeyeto kugundua.

Niligonga mlango mara kadhaa lakini haukufunguliwa, nilishikwa na hofu kwa kudhani mke wangu alikua ameaga dunia kumbe sivyo. Niliposonga kwenye dirisha la chumba chetu cha kulala, niliskia watu wakinong’onezana.

Niliiskia sauti ya mwanaume mle chumbani na kushtuka nini kilichokuwa kinaendelea, niliupiga mlango teke na kuingia chumbani mle ghafla nilimkupata mwanaume akiwa chumbani kwangu.

Ghafla mwanaume yule alijihami kwa kisu na kutishia kuniua, nilipoenda kumpiga mke wangu alitoweka kwa kutumia mlango wa nyuma.

Nilibaki mwenye mawazo mengi, nikapata wazo kuwa niwapigie Dr Bokko ili kuweza kupata usaidizi maana mke wangu amenifanyia jambo la ajabu sana!.

Nilipoongea na Dr Bokko aliniahidi kuyashughulikia kwa haraka, siku tatu baaadaye mke wangu alirejea nyumbani na kupiga magoti na kuomba msamaha kwa aliyoyatenda.

Yule mwanaume naye alinipigia simu na kuniomba msamaha, alikuwa analia kwa uchungu na kusema uume wake ulikuwa umevimba sana, niliwasiliana na Dr Bokko na kumueleza jambo lile na baada ya hapo aliweza kumpiga faini na kuweza kurudisha hali yake ya kawaida. Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Dr Bokko kwa namba; +255618536050.

Mwisho.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post