Picha : RAIS SAMIA AFUNGA KIKAO MAALUM CHA BARAZA KUU LA JUMUIYA YA UMOJA WA WANAWAKE TANZANI 'UWT' TAIFA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Ndugu Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akifunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, tarehe 28 Septemba 2024
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Ndugu Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Parokia ya Bombambili Wilayani Songea Mkoani Ruvuma kwa ajili ya kufunga Kikao Maalum cha Baraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, tarehe 28 Septemba 2024

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post