DAWASA MTAA KWA MTAA YASHIKA KASI WAZO NA GOBA

 



DAWASA Mtaa kwa Mtaa ipo Wilaya ya Kiondoni katika kata za Goba na Wazo kuanzia tarehe 19 - 21 Septemba 2024.




Huduma zinazopatikana katika Dawati ni pamoja na;

☑️Kupokea maombi ya huduma za Maji

☑️Kutoa Kumbukumbu namba (Control namba) kwa wateja waliokamilisha taratibu za kupata huduma ya Maji

☑️ Kutatua changamoto za ankara ya maji

☑️kupokea taarifa za uvujaji wa miundombinu ya maji

☑️Kushughulikia changamoto za ukosefu wa huduma ya maji,

☑️ Kurejesha huduma kwa wateja waliomaliza madeni ya huduma za maji




Wananchi maeneo yafuatayo mnakaribishwa Madale, Mivumoni, Kilimahewa, Modemba, Nyakasangwe, kazi moto, Sandawe, Uzunguni na Tegeta A

Dawati la DAWASA lipi eneo la Wazo katika Tanki la Maji mkabala na Supermarket ya Viva.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post