MABORESHO MIUNDOMBINU YA MAJI CHALINZE

 Mamlaka ya majisafi na usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuptia mkoa wa kihuduma DAWASA Chalinze imefanya maboresho katika miundombinu ya maji eneo la Kwa Liemba Msolwa kwa kubadilisha kipande cha bomba chakavu kwa umbali wa mita 400 katika bomba la inchi 12".


Kukamilika kwa matengenezo haya kutarahisisha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi wa Vijiji vya Mdaula,Msolwa,

Matuli,Ubena,Kizuka, Mtambani, na Lulenge

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post