SINGIDA WAASWA KUTEKELEZA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI KWA WELEDI


Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar leo ametembelea mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki watakao husika na zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Halmashauri ya Singida Vijijini mkoani Singida na kuzungumza nao wakati wa mafunzo yao ya siku mbili yaliyoanza leo Septemba 22 na kumalizika kesho Septemba 23, 2022.


Akizungumza na Waandishi hao Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki Dkt Zakia aliwataka kuzingatia mafunzo wanayopewa, dhamana waliyopewa ya kuendesha zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa weledi. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Dafrati la Kudumu la Wapiga Kura unaoitaraji kuanza Septemba 25, 2024 hadi Oktoba 1 mwaka huu.
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar leo ametembelea mafunzo ya Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki watakao husika na zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Halmashauri ya Singida Vijijini mkoani Singida na kuzungumza nao wakati wa mafunzo yao ya siku mbili yaliyoanza leo Septemba 22 na kumalizika kesho Septemba 23, 2022.
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar (kulia) akiangalia mafunzo kwa vitendo yaliyokuwa yakifanywa na waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki (BVR) wakati alipotembelea mafunzo yao leo Septemba 23, 2024 katika Shule ya Sekondari Mwanamwema Shein iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Singioda Vijijini mkoani Singida. Mkoa wa Singida na Dodoma wanataraji kuanza uboreshaji septemba 25 hadi Oktoba mosi mwaka huu.
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar (kushoto) akiangalia mafunzo kwa vitendo yaliyokuwa yakifanywa na waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki (BVR) wakati alipotembelea mafunzo yao leo Septemba 23, 2024 katika Shule ya Sekondari Mwanamwema Shein iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Singioda Vijijini mkoani Singida. Mkoa wa Singida na Dodoma wanataraji kuanza uboreshaji septemba 25 hadi Oktoba mosi mwaka huu.
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar (kulia) akiangalia mafunzo kwa vitendo yaliyokuwa yakifanywa na waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki (BVR) wakati alipotembelea mafunzo yao leo Septemba 23, 2024 katika Shule ya Sekondari Mwanamwema Shein iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Singioda Vijijini mkoani Singida. Mkoa wa Singida na Dodoma wanataraji kuanza uboreshaji septemba 25 hadi Oktoba mosi mwaka huu.

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar (kulia) akiangalia mafunzo kwa vitendo yaliyokuwa yakifanywa na waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki (BVR) wakati alipotembelea mafunzo yao leo Septemba 23, 2024 katika Shule ya Sekondari Mwenge iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Singida mkoani Singida. Mkoa wa Singida na Dodoma wanataraji kuanza uboreshaji septemba 25 hadi Oktoba mosi mwaka huu.
Waandishi wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki (BVR) wakisikiliza jambo wakatio wa mafunzo.


Sehemu ya washiriki wa mafunzo ya Waandishi wa Saidizi na Waendesha vifaa vya Bayometric (BVR) wakila kiapo cha kujitoa uanachama na kiapo cha kutunza siri muda wote wa utekelezaji wa majukumu yao.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo ya Waandishi wa Saidizi na Waendesha vifaa vya Bayometric (BVR) wakila kiapo cha kujitoa uanachama na kiapo cha kutunza siri muda wote wa utekelezaji wa majukumu yao.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo ya Waandishi wa Saidizi na Waendesha vifaa vya Bayometric (BVR) wakila kiapo cha kujitoa uanachama na kiapo cha kutunza siri muda wote wa utekelezaji wa majukumu yao.


Mafunzo yakiendelea

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post