EMPEROR T-JIGA AZIDI KUTAMBA NA KILODE


Msanii wa muziki wa nchini Ghana ambaye pia ni Mwandishi wa nyimbo, Mtayarishaji wa muziki, Mtumbuizaji na mshindi wa tuzo ambaye amefanikiwa kufanya kazi nyingi Emperor T- Giga ni moja kati ya wasanii ambaye kwa nafasi yake amefanikiwa sana kufikisha muziki wake mbali kutokana na ujumbe ambao msanii huyo amekuw akiutoa kwa jamii.

Licha ya kuachia kazi nyingi na pamoja na kuwa na mpango wa kuachia kazi nyingi zijazo T-Jiga ameendelea kufanya vyema na wimbo wake uitwao Kilode akiwa ameshirikiana na msanii maarufu ambaye anafahamika kwa jina la Cabarinny.

Emperor T- Jiga yuko mbioni kuendelea kuliteka soko la muziki katika kanda zote za Afrika na nje ya Afrika pia.

Kazi hii inapatikana katika vyanzo vyote vya kupakua na kutunza muziki ulimwenguni.

Tazama HAPA chini



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post