Video : JAMAA AZUA GUMZO AKIOGA MCHANA KWEUPE NJIA PANDA MJINI SHINYANGA

Jamaa ambaye hakujulikana jina wala makazi yake aliyevalia nguo nyekundu na nyeusi huku usoni akiwa amejipaka vitu vyeupe amezua gumzo Shinyanga Mjini baada ya kufika katika eneo la mataa ya barabara ya Soko Kuu kisha kumwaga mwaga vitu ,kuvunja nazi na kuoga kisha kuondoka zake hali iliyowaacha midomo wazi wananchi waliokuwa eneo hilo wasipate cha kufanya!!
 TAZAMA VIDEO HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post