MNADA WA KOROSHO LINDI WANANCHI WARUDISHA SHUKRANI KWA RAIS SAMIA

 
Wananchi  wa Lindi wanamshukuru na Kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa bei nzuri ya korosho haya yote yametokana na uzalishaji bora ambao pia umechagizwa na huduma bora za Ugani na Viuatilifu kwa wakulima vilivyotolewa kwa ruzuku kutoka Serikalini. 

"Asante Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuinua zao la Korosho" - Wakulima wanasema Asante.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post