KATAMBI AKAGUA MAANDALIZI YA SIKU YA VIJANA KITAIFA JIJINI MWANZA

Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu mhe. Patrobas Katambi akikagua maandalizi ya siku ya vijana kitaifa yatakayofanyika jijini Mwanza katika viwanja vya Furahisha tarehe 8-14/10/2024 ,akiwa ameambatana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kazi,Vijana,Ajira na Watu Wenye Ulemavu mhe. Zuhura Yunus pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza mhe.Said Mtanda.
 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post