RAIS SAMIA AWEKA BILIONI 584.2 KWENYE ELIMU MEATU

 Kishindo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye elimu kimeendelea kuwagusa wananchi baada ya kuweka kiasi cha Shilingi bilioni 585,280,028 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya kisasa ya Sekondari wilayani Meatu mkoani Simiyu.


Shule hiyo ya Kata ya Mwanuzi  ina madarasa nane, jengo la Utawala, Maabara tatu, vyoo 10, chumba cha Kompyuta, Maktaba na sehemu maalum ya kuchomea takataka.


Uzinduzi wa mradi huo umefanywa Oktoba 27,2024 na Waziri wa Maji Jumaa Aweso kwa niaba ya Rais Dkt. Samia.

#KAZI INAONGEA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post