CHATANDA AHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA DAFTARI LA MKAAZI



Na mwandishi wetu

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) ametembea mtaa kwa mtaa kuhamasisha makundi mbalimbali ikiwemo bodaboda na wajasiriamali wadogowadogo kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la Mkaazi kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 2024.

Chatanda amewataka wananchi wote kujiandikisha kwenye Daftari la Mkaazi kwani ni haki ya kila Mtanzania mwenye umri kuanzia miaka 18.















Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post