JUMBE SABA ZA WAPENDA SOKA KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

1. Mpira ni wetu, Samia ni wetu, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni wetu, kupiga kura ni wajibu wetu.

2. Wananchiiii...! Novemba 27, Spidi 120 kuchagua viongozi bora wa mitaa kwa maendeleo ya soka.

3. Mama Kasema, Novemba 27, tusiache kumwaga wino.

4. Mama na Soka, Sisi na Uchaguzi, Tusomane vituoni Novemba 27.

5. Friends of Samia, tuna jambo letu Novemba 27, 2024.

6. Ubaya Ubwela hadi kwenye Sanduku la Kura, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 27, 2024.

7. Chagua viongozi bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo ya Soka letu.

#WatotowaMama
#TusomaneVituoniNovemba27

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post