Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),
Bi. Mary Maganga, akihutubia wakati wa kufunga kikao
cha baraza la wafanyakazi wa OSHA, pamoja mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi
hao kilichofanyika Jijini Arusha Desemba 19, 2024.
Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda, akiwasilisha salamu zake katika hafla ya kufunga kikao cha baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika
Jijini Arusha Desemba 18 na 19, 2024.
Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya
Tanzania (TUGHE) Taifa, Mudathir Athuman, akiwasilisha salamu za TUGHE katika hafla
ya kufunga kikao cha baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika
Jijini Arusha Desemba 18 na 19, 2024.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),
Bi. Mary Maganga akiwa kwenye picha ya pamoja na meza kuu (katikati) kikao cha baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika
Jijini Arusha Desemba 18 na 19, 2024. Alioambatana nao ni Mtendaji Mkuu wa
OSHA, Bi. Khadija Mwenda (wapili kushoto) Mwezeshaji wa Mafunzo kwa watumishi, Bi.
Martha Luleka (kushoto), Mwakilishi wa Katibu Mkuu TUGHE Taifa, Mdathir Athuman
(wapili kulia) na Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la OSHA, Bi. Beatrice Lengereri.
Wafanya kazi wa OSHA wakifuatilia mawasilisho mbalimbali yaliyo wasilishwa
kwenye kikao cha baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika
Jijini Arusha Desemba 18 na kufuatiwa na mafunzo kwa watumishi wote Desemba 19,
2024.
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la OSHA, Beatrice Lengereri, akizungumza katika kikao
cha baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika Jijini Arusha Desemba 18 na
kufuatiwa na mafunzo kwa watumishi wote Desemba 19, 2024.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Mary Maganga (kulia) akibadilishana mawazo na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda katika kikao cha baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika Jijini Arusha Desemba 18, 2024.
Mwezeshaji wa Mafunzo yaliyofanyika sambamba na kikao cha baraza la
wafanyakazi wa OSHA Jijini Arusha, Bi. Martha Luleka, akiwasilisha mada kuhusu
ujuzi laini (Soft skills) katika kikao hicho.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu),
Bi. Mary Maganga (katikati) na meza kuu wakiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi tarajali wa OSHA katika kikao cha
baraza la wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika Jijini Arusha Desemba 18, 2024 na
kufuatiwa na mafunzo kwa watumishi wote Desemba 19, 2024.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Mary Maganga akipokea zawadi kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. khadija Mwenda, mara baada ya kufunga kikao cha baraza la wafanyakazi wa OSHA pamoja na mafunzo kwa watumishi wote yaliyofanyika Jijini Arusha Desemba 18 na 19, 2024.
Social Plugin