Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu- Divisheni ya Kazi, Dkt. Yose Mlyambina, akitoa salamu zake katika hafla ya kufungua mafunzo ya usalama na afya pamoja haki na wajibu wa wafanyakazi kwa watumishi wa Mahakama na Taasisi nyingine ambao wana ulemavu mbalimbali.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania, Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, akifungua mafunzo maalum ya usalama na afya pamoja na haki na wajibu kwa watumishi wa Mahakama na Taasisi nyingine ambao wana ulemavu mbalimbali.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete na meza kuu wakiwa katika picha ya pamoja na Mahakimu wa Mahakama mbalimbali nchini kwenye hafla ya kufunga mafunzo ya watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Taasisi nyingine za watu wenye ulemavu yaliyo fanyika katika Ofisi za OSHA Jijini Dodoma Disemba 17, 2024.

Social Plugin