Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

WACHEZAJI WA DODOMA JIJI WAPATA AJALI, BASI LAO LATUMBUKIA MTONI





Picha:Mtandao

Basi la timu ya Dodoma Jiji FC limepata ajali leo asubuhi maeneo ya Nangurukuru kuelekea Somanga mkoani Lindi likitokea mjini Ruangwa ambako jana walicheza mechi ya ya Ligi Kuu NBC dhidi ya Namungo FC.

Inaelezwa kuwa basi hilo lilipinduka mara mbili. 
Taarifa zinadai wachezaji wengi wamepata majeraha na hakuna kifo kilichoripotiwa

Katibu Mkuu wa Timu hiyo, fortunatus Johnson amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.


SOMA HAPA ZAIDI CHANZO NIPASHE

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com