Picha : MATUKIO YALIYOJIRI MKUTANO 'MISA - WADAU SUMMIT 2025'

Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika  Tawi la Tanzania (MISA - TAN) , Edwin Soko akizungumza wakati  wa Mkutano wa Misa Tanzania na wadau (MISA-TAN - Wadau Summit 2025) leo Machi 14, 2025, jijini Dodoma. Mkutano huu ulioandaliwa na MISA TAN umekutanisha waandishi wa habari na wadau wa habari na mawasiliano kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Picha na Kadama Malunde









































Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com