Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Yes! Yes! Yes! STAND UNITED FC WATAFUNA MIWA YA MTIBWA SUGAR CCM KAMBARAGE!

 

Timu ya Stand United FC, imeifunga Mtibwa Sugar FC  bao 1-0 katika mchezo wa Ligi ya Championship uliochezwa leo Machi 17, 2025, katika uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com