
Ndugu Mwaselela amewaomba Watanzania wote, kutoka bara na visiwani, kumpigia kura nyingi Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na wagombea wa udiwani na wabunge kupitia CCM.
"Twendeni tukaionyeshe dunia kuwa tuna Rais bingwa wa kuleta maendeleo kwa wananchi wote. Tuweke wazi kuwa tuna Dkt Samia Suluhu Hassan, ambaye ni bingwa wa diplomasia na bingwa wa demokrasia ya kweli. Kwa namna alivyomchapa kazi, hatuna mwingine wa kumshinda. Mgombea wetu ni Dkt Samia Suluhu Hassan, na mgombea mwezake ni Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi",amesema MNEC huyo.
Wito huu ameutoa wakati wa ziara ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Ndugu Stephen Wasira, katika Mkoa wa Kagera.
#Kazi na Utu, Tunasonga Mbele
Social Plugin