Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

WMA YAELEZA MAFANIKIO YAKE IKIWEMO KUAJIRI WAFANYAKAZI 186





Na Dotto Kwilasa, Dodoma

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla, amesema kuwa moja ya mafanikio makubwa na ya kihistoria ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake ni kuajiri wafanyakazi 186, jambo ambalo limeleta mabadiliko makubwa katika ufanisi wa taasisi hiyo.

Kihulla ameeleza haya wakati akitoa ripoti ya mafanikio ya Serikali katika kipindi cha miaka minne ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Jijini Dodoma.
Amesema kuwa,

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com