
Kaimu Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, ACP Abubakar Khamis, amesema kuwa tukio hilo lililotokea Aprili 16, 2025, linaendelea kufuatilia kwa kina ili kubaini sababu zilizopelekea kijana huyo kuchukua hatua hiyo ya kujitoa uhai.
“Tunaendelea kufuatilia kwa undani ili kubaini kama kuna mazingira mengine yaliyomchanganya mwanafunzi huyo. Uchunguzi bado unaendelea,” amesema Kamanda Abubakar wakati akijibu swali la mwandishi wa habari kuhusu chanzo cha tukio hilo.
Social Plugin